HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » IRINGA MJINI KWACHAFUKA WAMACHINGA WAFANYA VURUGU LEO ASUBUHI

WAKATI watu wengine wakienda makanisa asubuhi ya leo hapa nchini Tanzania Mjini Iringa hali ya mambo imegeuka na kuwa uwanja wa vita baina ya Wamachinga na Polisi Mjini Iringa. 

Duru za Habari kutoka mjini humo zinasema vurugu kubwa zimezuka katika barabara ya Iringa-Dodoma na katika mitaa ya Mashine tatu ambapo Polisi mkoani humo wamelazimika kutumia mabomu ya kutoa machozi.
Ni Machafuko  Iringa  hivi  leo







PICHA NA FRANCIS GODWIN WA MATUKIO DAIMA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: