WAKATI
watu wengine wakienda makanisa asubuhi ya leo hapa nchini Tanzania Mjini Iringa
hali ya mambo imegeuka na kuwa uwanja wa vita baina ya Wamachinga na Polisi
Mjini Iringa.
Ni Machafuko Iringa hivi leo
Duru za Habari kutoka mjini humo zinasema vurugu kubwa zimezuka katika barabara ya Iringa-Dodoma na katika mitaa ya Mashine tatu ambapo Polisi mkoani humo wamelazimika kutumia mabomu ya kutoa machozi.
Ni Machafuko Iringa hivi leo
PICHA
NA FRANCIS GODWIN WA MATUKIO DAIMA
No comments:
Post a Comment