Sensei Rumadha Fundi akielekea kuchukua Nondozi
Sensei Rumadha akiwa na ndugu na marafiki
Sensei Rumadha na mkewe Anita pamoja na mdogo wake Rumadha,Kibwana Fundi katika shangwe
Sensei Rumadha akiwa binamu Dotto Haruna
Sensei Rumadha akiwa na ndugu na marafiki
Sensei Rumadha na mkewe Anita pamoja na mdogo wake Rumadha,Kibwana Fundi katika shangwe
Sensei Rumadha akiwa binamu Dotto Haruna
Sensei Rumadha Fundi (mstari wa nyuma) akiwa na wataalamu wenzie wa mapafu(Picha na Msema Kweli)
Sensei Rumadha Fundi ,kachukua Degree "Associate in Applied Science Cardiopulmonary Respiratory Care". Sensei Rumadha Fundi ajiongezea taaluma kutoa Usensei wa
Karate na Mwalimu wa Yoda na sasa mtaalamu wa tiba za binadamu upande
wa mapafu !
Si mwingine bali yule mtanzania mtaalamu wa michezo ya Karate na Yoga, Sensei Rumadha Fundi (3rd Dan,Black Belt ) mwenye maskani yake kule marekani juzi 17 Mai 2013 Sensei Rumadha Fundi akishangiliwa na kupongezwa na ndugu na marafiki waliomshuhudia akipokea Degree "Associate in Applied Science Cardiopulmonary Respiratory Care" "Collin College, McKinney, Texas, USA.Sensei Rumadha Fundianongezea C.V yake kwa kula nondo ya utaalamu wa tiba za mapafu na moyo,Sensei Rumadha sasa amekuwa mtaalam
Respiratory
Therapist: Mtaalam wa hewa na gas ya kupumua anaye tibu mapafu na moyo
chini ya maelekezo ya mganga wa mapafu"pulmonalogist. Pia, Respiratory
therapist anamajukumu mengi kama kuwatibu wagonjwa wa
pumu,COPD,Ephysema,Asthma,TB na majonjwa yote yanayohusu mapafu na moyo.
Pia,anauwezo wa kutafsiri damu baada ya kupima hali yamgonjwa kama ana oxygen ya gas inahitaji tiba yeyote.
Pia,anauwezo wa kutafsiri damu baada ya kupima hali yamgonjwa kama ana oxygen ya gas inahitaji tiba yeyote.
No comments:
Post a Comment