HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » YALIYOJIRI KWENYE MSIBANI KWA MAREHEMU JULIUS NYAISANGA

 Mbunge wa jimbo la Morogoro Mjini, Aziz Abood ambaye ndiye mmiliki wa kituo cha Abood media alipokuwa akifanya kazi marehemu Nyaisangah akimpa mkono wa pole mke wa marehemu, Leah Nyaisangah nyumbani kwake Kihonda mtaa wa Viwandani mkoani Morogoro
 Mke wa marehemu, Leah Nyaisangah akiwa na simanzi baada ya kuondokewa na mumewe.
 ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI

 

Baadhi ya waombolezaji wakiwa msibani kwa marehemu Julius Nyaisangah eneo la Kihonda mtaa wa Viwandani mkoani morogoro (picha zote na Dustan Shekidele)


«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: