HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » AJALI YATOKEA IRINGA BAADA YA BASI KUGONGANA NA LORI

 Gari lenye namba  za usajili T606 BJB  lilolokuwa linatokea  Stand kuu ya Iringa  kelekea Ifunda limepata ajali baada ya kuligongana na  Lori lenye namba  za usajili T 234 CLU ambalo ni Mali ya T.H Clements & Son LTD eneo la Kitwiru ambapo ajali ilipotokea ,  Ajali hii ilitokea baada ya Dereva wa basi alipojaribu kumpita dereva wa Lori hilo bila mafanikio na watu watatu wamejeruhiwa katika ajali hiyo. (Picha na Said Ng'amilo)
Huu ndio mwonekano wa basi hilo

ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI




CHANZO: MJENGWA BLOG

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: