HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » KUVUZU FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA KWA WANAWAKE,TANZANIA YALALA KWA AFRIKA KUSINI 4-1

 Kikosi cha timu ya Afrika Kusini kiimba wimbo wa taifa.(Picha na Francis Dande)
 Kikosi cha Tanzanite kikiimba wimbo wa taifa.

ENDELEA KUTIZAMA TUKIO  HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI


 Wachezaji wa timu ya Afrika Kusini walioanza katika kipindi cha kwanza.
 Wachezaji wa timu ya Tanzanite walioanza katika kipindi cha kwanza.
 Nahodha wa timu ya taifa ya Wanawake ya Tanzania 'Tanzanite' Fatma Issa akisalimiana na nahodha wa Basetsana, Kaylin Swart kabla ya mchezo wa kufuzu kucheza Fainali za Kombe la Dunia kwa Wanawake wenye umri chini ya miaka 20 uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. Afrika Kusini ilishinda 4-1.
 Vumilia Seleiman akimtoka mchezaji wa Afrika Kusini, Nomonde Nomtsheke.
 Mshambuliaji wa timu ya taifa ya wanawake wenye umri chini ya miaka 20 ‘Tanzanite’, Shelda Boniface akimtoka beki wa timu ya Afrika Kusini ‘Besetsana’, Tiisetso Makhubela  katika mchezo wa kuwania kufuzu Fainali za Kombe la Dunia la wanawake wa umri huo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana. Afrika Kusini ilishinda 4-1.
 Kumiliki mpira.
 Shelda Boniface akimiliki mpira mbele ya beki wa Afrika Kusini, Meagan Newman.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: