HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » PAUL WALKER ALIKUWA KIPENZI CHA WENGI, MASTAR MBALIMBALI DUNIANI WAOMBOLEZA KIFO CHAKE NA KUANDIKA UJUMBE KWENYE TWEETER NA INSTAGRAM ZAO ZISOME HAPA

Kifo cha star wa Hollywood Paul Walker kilichotokea Jumamosi iliyopita (Nov 30) kimewagusa watu wengi kutokana na jinsi ambavyo star huyo wa Fast and Furious alivyokuwa akipendwa.

Ukitembelea mitandao ya kijamii ikiwemo Instagram, Facebook, Twitter na mingine asilimia kubwa ya post za watu mbalimbali wakiwemo maarufu kutoka Tanzania na nje pia kuanzia jana zinahusu jinsi ambavyo wameshtushwa na kifo cha Walker.

Hizi ni baadhi ya tweets, pamoja na post za mastaa mbalimbali wa nje
ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI 


Rapper The Game aliweka picha ya Paul Walker Instagram na kuandika:

“Sad news about a dear friend. @PaulWalker, one of the best actors & for damn sure a great friend to me & I’m sure everyone else died today in a fiery car crash. This saddens me & is a definite reminder of how short life is. When I woke up this morning this is definitely not what I thought I’d have to post at some point during the day. My sincerest condolences & prayers are with his entire family…… A TRUE FRIEND was lost today & will be missed. Rest In Peace Paul………….”
Your humble spirit was felt from the start, wherever you blessed your presence you always left a mark,… http://t.co/nUiPPIU9Bb

Aliyekuwa mtu wa karibu wa Walker katika movie ya Fast and Furious, Vin Diesel, pia alipost picha ya swahiba wake Instagram na kuandika:

“Brother I will miss you very much. I am absolutely speechless. Heaven has gained a new Angel. Rest in Peace”.

Rapper T.I pia alipost picha yake na Walker na kuandika:
 

T.I na Paul Walker

“I am shocked & saddened to find that the world has lost such a great spirited person. Paul was not only a passionate, talented, actor, he was also a sincere man with a genuine personality that filled a room immediately upon introduction. My family’s hearts & prayers are extended to his family, especially his daughter. May he rest in peace. Through all his many actions & efforts his legacy lives on. He will never be forgotten”.

Tyrese ambaye ni co-starring wa Walker katika Fast and Furious alishare picha wakiwa pamoja na kuandika:
 

Tyrese & Paul Walker

“My heart is hurting so bad no one can make me believe this is real Father God I pray that you send clarity over this cause I just don’t understand My heart hurts it’s broken no one can convince me that this is real…. Prayer warriors please pray real hard for his only child, his daughter and family… #HeartOfAnAngel13YrsFamilyForeverWeJustCelebreatedYour40thBirthday….. My God… My God… I can’t believe I’m writing this.”

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: