HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » TASWIRA MBALIMBALI KUTOKA BUNGENI DODOMA LEO


 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Madiwani na Watendaji wa Halmashauri ya Wilaya  ya Kishapu mkoani Shinyanga kwenye ukumbi wa Spika .Bungeni mjini Dodoma Mei 27, 2014. Walitembelea Bunge kwa mwaliko wa Mbunge wao, Suleiman Nchambi.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifurahia jambo katika mazungumzo kati yake na Mbunge wa Moshi Vijijini, Cyrli Chami kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma.

ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI

 

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Maswa Mashariki , John Shibuda kwenye viwanja vya  Bunge Mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akiteta na Mwandishi  wa habari mkongwe, Prince Bagenda kwenye viwanja vya  Bunge mjini Dodoma. Picha na PMO

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: