HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » KONGAMANO LA MOYO WA MWANAMKE

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


Katika kuelekea siku ya mwanamke Duniani Kanisa la Living Water Centre Kawe kupitia huduma ya Wamama kanisani hapo ikiongozwa na mmbeba maono Mwalimu Lilian Ndegi wameandaa Kongamano linalojulikana kama “Kongamano la Moyo Wanawake”
 Kongamano hilo huwa linalofanyika mara moja kila mwaka Katika Kanisa la Living Water Centre Kawe chini ya mtumishi wa Mungu Apostle Onesmo Ndegi na Mwalimu Lilian Ndegi,Kongamano hili ni kwa kusudi la kuwajenga Wanawake kuwa na uwezo katika kumtumika Mungu na kujua nafasi yao ya kutumika aliyowapa katika ufalme Mungu.
Theme ya mwaka huu ni Mwanamke Mjenzi Mithali 14:1 Kusudi kuu la Kongamano ni Kuwafanya Wanawake kuwa watendaji katika ufalme wa Mungu na wawajibikaji na watekelezaji wa majukumu katika ngazi ya Familia,Huduma,Jamii na Taifa kwa ujumla.
Waimbaji Women of The Kingdom,Living Waters,More than Enough Band na wengine wengi.
Karibuni sana.


Mawasiliano 0713 580 400 

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: