Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.
Aliyekuwa Spika wa Bunge, Samuel Sitta amefariki dunia usiku wa kuamkia
leo wakati akipatiwa matibabu nchini Ujerumani.Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Mwanae Benjamin Sitta.
Mungu aiweke Roho ya marehem mahali pema peponi
Amina




No comments:
Post a Comment