HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» » » EATV yamtangaza Salama Jabir kuwa host wa EATV Award 2016

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


Mtangazaji mahiri wa vipindi vya burudani nchini, Salama Jabir ametangazwa na EATV kuwa host wa tuzo za EATV Award 2016 ambazo zitafanyika Disemba 10 katika ukumbi wa Mlimani City.

Jumla ya tuzo 10 zinatarajiwa kukabidhiwa kwa wasanii wa muziki na filamu siku hiyo.

Kupitia twitter ya EATV, imeandika;

Tunamtambulisha kwako HOST EATV AWARDS 2016, mkali wa hizi kazi.
Salama Jabir

Moja kati kipengele ambacho kitakuwa na msisimko siku hiyo ni kipengele cha msanii bora wakiume ambacho Alikiba, FA, G-Nako, Shetta na Ben Pol wanapigana vikumbo kuondoka na tuzo hiyo.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: