Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akisaini kitabu cha kumbukumbu cha maombelezo ya aliyekuwa Rais
wa nchi hiyo na mpigania ukombozi Fidel Castro aliyefariki dunia novemba
25,2016 mjini Havana, aliyesimama kushoto ni Balozi wa Cuba nchini
Balozi Jorge Luis Lopez Tormo.





No comments:
Post a Comment