HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» » » MSAKO WA MADEREVA WA DALADALA WALEVI WAANZA DAR ES SALAAM

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


  Kamanda wa kikosi cha askari wa usalama barabarani wa Kanda Maalum ya Dar es salaam Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Awadhi Haji akiongea na madereva wa daladala mapema asubuhi leo jijini humo baada ya kukamata baadhi yao wakiendesha magari wakiwa wamelewa. ACP Haji amewataka madereva hao na waendesha vyombo vya moto wengine kujiepusha na jinai hiyo ya kuendesha gari wakiwa wamelewa kwani ni hatari kwao binafsi na kwa watumiaji wa barabara. Amesema zoezi hilo la ukaguzi wa madereva wanaofanya kazi wakiwa wamelewa ni endelevu na kwamba atakayepatikana atachukuliwa sheria mara moja bila simile.
Mmoja wa madereva wa daladala akipimwa pumzi kuona kama amelewa ama la. Madereva kadhaa walikutwa wamelewa na kuchukulia hatua.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: