HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» » » EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta,Petrol, Dizel zashuka, Mafuta ya taa yapanda

Mamlaka ya Udhibiti wa huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei mpya za mafuta ambazo zinaanza kutumika kesho ambapo bei ya mafuta ya Petroli imeshuka kwa shilingi 36 kwa lita, Dizeli ikishuka kwa shilingi 44 kwa lita, ilihali bei ya mafuta ya taa ikipanda kwa shilingi 24 kwa lita.
Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa Mamlaka hiyo, Titus Kaguo amesema bei hizo ni kwa mafuta yanayopakuliwa jijini Dar es Salaam, ili hali yale ya mkoani tanga yakibakia bei yake ileile ya mwezi uliopita.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: