HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» » TAZAMA HAPA MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA BAADA YA MICHEZO YA LEO MAY 06, 2018

Baada ya mechi saba za raundi ya 27 kukamilika leo, sasa ni wazi kuwa Simba wanaukaribia ubingwa wa ligi kuu ya Tanzani Bara msimu huu kwani hadi sasa inahitaji pointi mbili pekee kujitangazia ubingwa, huku Ndanda SC, Majimaji FC, Njombe Mji na Mbao FC zikiendelea kupigania nafasi ya kubaki ligi kuu msimu ujao.


«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: