HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » Ajali yatokea nje kidogo ya mji Chalinze


Basi limedondoka Mboga nje kidogo ya Chalinze. Hakuna aliyefariki ila wapo majeruhi. Basi lilikuwa linatokea Pangani, Tanga kwenda Dar es Salaam


Baada ya basi kupinduka


Baadhi ya abilia wakitolewa kwenye gari baada ya kupata ajari basi ilo lilikua linatokea Pangani. Tanga kuelekea Dar es salaam

 
Abilia wakiwa nje ya gari baada ya kupata ajari ila jambo la kumshukuru mungu hakuna mtu aliyefariki

PICHA NA  JAMII FORUMS

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: