HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » HII NDIO HALI HALISI YA MISRI KWA SASA BAADA YA WANANCHI KUINGIA MITAANI KUSHINIKIZA RAIS MORSI KUACHIA MADARAKA

Maandamano ndiyo yamekuwa kama kiamsha kinywa kwa wananchi wa Misri hasa mjini Cairo wakilalamika kuwa serikali haijali sana maslahi yao
Lakini rais ana wafuasi wake sugu kama hawa wanaoonekana kuunga mkono kila hatua anazochukua kuhakikisha kuna utulivu Misri



Mabango haya ni ishara ya watu kuonekana kumpinga rais Morsi kiasi cha hata kuteketeza makao ya chama tawala cha Muslim Brotherhood
Mji wa Cairo umekuwa kitovu cha maandamano makubwa kama haya ambapo wengi wanataka rais Morsi kuunda serikali inayowajumuisha na hata wapinzani wala sio ya chama chake pekee
Hawa ni wapinzani wa Morsi wanaosema kuwa anaoenekana kuweka maslahi ya wafuasi wa chama cha Muslim Brotherhood na kuhujumu manufaa na faida za kumuondoa mamlakani aliyekuwa rais Hosni Mubarak
Hawa wanamtaka Mosri kuondoka mamlakani lakini kwa sasa kuna dalili ya kuanzishwa mazungumzo kwa pande zinazotaka kujumuishwa kwa serikali
Wananchi wa Misri wamekuwa wakiandamana kwa muda mrefu baadhi wakimpinga rais Mohammed Morsi na wengine wakimuunga mkono
 


 Source: BBC Swahili




«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: