Baada ya mchezo wa leo wa KariakooDerby Simba imeendelea kujichimbia kileleni kwa kufikisha pointi 62 baada ya kucheza michezo 26. Yanga wapo katika nafasi ya 3 wakiwa na pointi 48 lakini wana michezo miwili mkononi (viporo). Sasa Simba inahitaji pointi 5 kutawazwa mabingwa wa ligi kuu ya Tanzania bara kwa msimu wa 2017/18.
-
No comments:
Post a Comment