HII KALI YA MWAKA 2014: MASKINI KUZUIWA KUMILIKI GARI DUBAI ILI KUPUNGUZA MSONGAMANO BARABARANI

 Katika kujaribu kupunguza msongamano wa magari mjini Dubai, watu wenye kipato cha chini na maskini hawataruhisiwa kumiliki magari.
Wazo hilo la ubaguzi limebuniwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Dubai, Hussain Lootah. Lootah amesema uamuzi huo utawaruhusu watu muhimu na wenye kipato cha juu kutumia barabara za mjini.

No comments

Powered by Blogger.