FILAMU MBILI ZA PROIN PROMOTIONS ZAINGIA KWENYE KINYANG'ANYIRO CHA TUZO ZA AFRICA MAGIC VIEWERS CHOICE AWARD

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu. 


Two Tanzanian movies Mdundiko and Network have been nominated for Nigeria Awards, the 2015 Africa Magic Viewers Choice Awards which will take place early next year. Both movies are nominated in the category of  Best Indigenous Language – Swahili and they are competing with Kenyan films. Mdundiko which is directed by Timoth Conrad stars Lumolwe Matovolwa, Dokii,Tino, Rado, Masinde and Bi. Mwenda while Network directed by John Kalaghe stars Monalisa Yvonne Cherryl in the lead.
Jinsi ya Kupiga Kura Unachotakiwa kufanya ni kufungua website hii www.amvca2015-awards.dstv.com and start voting! Unaweza kupiga kura mpaka 100 kwa Siku na vilevile unaweza kupiga kura kwa Kutuma Sms mpaka 100 pia kwa Siku pindi Tuzo hizo zitakapoanza
Vilevile Unaweza kupiga kura kwa kutumia program iitwa WE CHAT ambapo utatakiwa kuidownload kwenye simu yako na kuanza kupiga kura
Sasa ni zamu ya Filamu kuleta Tuzo Nyumbani Maana Muziki na BBA tayari na sasa tuweke nguvu zetu Huku hadi Davido Apaniki tena.

No comments

Powered by Blogger.