Mkutano kuhusu Mchango wa Utumishi katika Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Miaka 5 wafanyika jijini Dar es salaam
Katibu
Mkuu Kiongozi mstaafu Dokta.M.Lumbanga na Katibu Mkuu-Utumishi mstaafu
Bw. J.Rugumyamheto wakibadilisha mawazo na Kaimu Katibu Mkuu Utumishi
Bw. HAB Mkwizu, pamoja na wajumbe wengine wakati wa mkutano kuhusu
Mchango wa Utumishi katika Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Miaka
Mitano uliofanyika tarehe 29-30 Aprili,2013 Dar es Salaam Serena Hotel.(Picha na Full Shangwe)
Katibu
Wakuu Viongozi wastaafu Bw.P.Luhanjo (kushoto) na Dokta.M.Lumbanga
(kulia), katikati ni Katibu Mkuu-utumishi mstaafu Bw.J.Ruguyamheto
wakisikiliza mada wakati wa mkutano kuhusu Mchango wa Utumishi katika
Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano uliofanyika tarehe
29-30 Aprili,2013 Dar es Salaam Serena Hotel.
Washiriki
wakichukua taarifa muhimu wakati wa mkutano kuhusu Mchango wa Utumishi
wa Umma katika Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano
uliofanyika tarehe 29-30 Aprili,2013 Dar es Salaam Serena Hotel.
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh. Celina O.
Kombani (MB) akiongea na vyombo vya habari baada ya kufungua mkutano
kuhusu Mchango wa Utumishi katika Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa
Miaka Mitano uliofanyika tarehe 29-30 Aprili,2013 Dar es Salaam Serena
Hotel.
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh. Celina O.
Kombani (MB) mstari wa kwanza katikati akiwa katika picha ya pamoja na
washiriki wa mkutano kuhusu Mchango wa Utumishi katika Utekelezaji wa
Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano uliofanyika tarehe 29-30 Aprili,2013
Dar es Salaam Serena Hotel.
Post a Comment