WAZIRI MKUU PINDA AWAFARIJI NDUGU NA JAMAA WA MAREHEMU WALIOPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI YA KUPOROMOKEWA NA MORAMU, MKOANI ARUSHA

 Waziri Mkuu akitia sahihi  kitabu cha maombolezo.
Kiongozi wa dini akiombea marehemu waliofariki kwa kuporomokewa na Moramu
Waziri mkuu Mizengo pindaakiongea na familia, ndugu na jamaa wa marehemu walioporomokewa na moramu.

 Waziri Mkuu akipeana mkono na Askari wa Jeshi la Wananchi (jwtz) alipotembelea eneo la tukio. 
Waziri Mkuu Mizengo Pinda alipowasili mkoani Arusha leo Kuwapa pole ndugu na jamaa ambao ndugu zao wamefariki katika machimbo ya Moramu katika eneo la Moshono Mkoani Arusha, maporomoko hayo yametokea jana nakusababisha vifo vya watu 13 na majeruhi wawili ambao mmoja ameruhusiwa na mwingine amelazwa katika Hospitali ya Maunti meru. (Picha na Chris Mfinanga)
 
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akitoka eneo la tukio katika machimbo ya Moramu katika eneo la Moshono Mkoani Arusha,  maporomoko hayo yametokea jana nakusababisha vifo vya watu 13 na majeruhi wawili

No comments

Powered by Blogger.