POLISI MKOANI DODOMA WAKAMATA MITAMBO YA KUTENGENEZA POMBE HARAMU

 Kamanda wa polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime akiwaonyesha waandishi wa habari moja ya mitambo ya kutengenezea pombe Haramu aina ya Gongo waliyoikamata hivi kalibuni katika wilaya za mpwapwa na kongwa, na kumshikilia Taita Rashid pamoja na gongo lita 600(Picha na John Banda)

.

No comments

Powered by Blogger.