WAZIRI MKUU WA THAILAND ATEMBELEA HIFADHI YA SERENGETI

 Waziri Mkuu wa Thailand Yingluck Shinawatra akiteremka kwenye ndege katika Uwanja wa Ndege wa Seronera, Serengeti, leo na kulakiwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki.
 Waziri Mkuu wa Thailand Yingluck Shinawatra akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Hifadhi za Taifa (TANAPA) Allan Kijazi mara baada ya kuwasili katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Endelea kutizama tukio hili kwa kubofya hapa chini

 Waziri Mkuu wa Thailand Yingluck Shinawatra akisalimiana na Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti William Mwakilema mara baada ya kuwasili katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
Waziri Mkuu wa Thailand Yingluck Shinawatra akisindikizwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki (kushoto) na Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji Dk. Mary Nagu (kulia) mara baada ya kuwasili Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

No comments

Powered by Blogger.