UFO SARO BADO YUKO KATIKA CHUMBA CHA UPASUAJI MHIMBILI
Picha za chini ni baadhi ya Wafanyakazi
wenzake na Ufo Saro kutoka IPP pamoja waandishi wa habari wa vyombo
mbalimbali wakiwa wamepiga kambi katika hospitali ya taifa ya Muhimbili ambako Ufo Saro mpaka sasa yuko katika chumba cha upasuaji baada ya kupigwa
risasi na mchumba wake Anteri Mushi usiku wa kuamkia leo ambapo pia
alimpiga mama mzazi wa Ufo Saro Anastazia Peter Saro miaka 59
aliyefariki hapohapo na baadae kujipiga risasi mwenyewe na kufa
hapohapo, Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo huko Mbezi Luisi
ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI
Wafanyakazi hao wakibadilishana mawazo hapa na pale katika hospitali ya Muhimbili leo hii Picha Kwa Hisani ya Fullshangwe Blog
Post a Comment