ZANZIBAR HOUSE OF TALENT (ZHT) YAWAITA NISHA NA GABO ILI KUWAINUA WASANII WA ZANZIBAR

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


 Salma Jabu Nisha akiwa on set Zanzibar katika harakati za kuwainua wasanii wa zanzibar ni project iliyoandaliwa na Zanzibar House of Talent (ZHT) ambayo imewaita wasanii wakubwa wawili Salma Jabu na Gabo. Hii ni moja ya kazi anayoifanya msanii huyo huko Zanzibar

No comments

Powered by Blogger.