YANGA YAKABWA KOO NA NDANDA, YALAZIMISHWA SARE

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


 
Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva akimiliki mpira mbele ya beki wa Danda SC, Azizi Sibo katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Timu hizo suluhu. (Picha na Francis Dande)
Beki wa Ndanda Paul Ngalema (kulia) akichuana na mshmabuliaji wa Yanga, Kpah Sherman.


ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI


Simon Msuva akiwatoka wachezaji wa Ndanda.
Golikipa wa Ndanda, Wilbert Mweta akiruka juu kuokoa hatari langoni mwake.
 Mashabiki wa Ndanda.
Waamuzi wa mchezo kati ya Yanga na Ndanda.
Washambuliaji wa Yanga, Jerryson Tegete (kushoto) na Amis Tambwea wakiwa katika benchi mara baada ya kumalizika kwa mchezo.
Mashabiki wa Ndanda wakishangilia baada ya kumalizika mchezo.

No comments

Powered by Blogger.