TAZAMA PICHA ZA MWILI WA MAREHEMU GEORGE TYSON UKITOLEWA HOSPITALI YA MOROGORO KULETWA DAR PAMOJA NA PICHA ZA NYUMBANI KWA MAREHEMU

 



 Pichani ni Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Morogoro Bw. Antony Mtaka akiwa na raisi wa wasanii Mwakifamba wakiingia eneo la Mochwari tayari kwa maandalizi yote kuwa sawa.
Mtangazaji na Muanzilishi wa Kipindi cha The Mboni Show, Mbonie Masimba akifutwa machozi mara baada ya kukaa na ndugu jamaa na marafiki, haamini kama Tyson hatunae tena, aliyevaa nguo ya njano yenye (vidoti doti ameinama) mama mzazi wa Mbonie ambaye toka juzi alikuwa msitari wa mbele katika shughuli ya kuwagawa madawati.
 Dj Choka akiwa na wapiga picha (waliosimama) waliokuwa katika ajali hiyo.
Waombolezaji wakiwa hospitali ya Morogoro kuchukua mwili wa Marehemu George Tyson. Picha zote Na Dj Choka.
 Betrice Shayo(aliyelala) mke wa marehemu George Tyson.
 Baadhi ya wafanyakazi wa TV1 wakiwasili msibani.
 Wafanyakazi wa TV1 wakiwa nyumbani kwa marehemu.
Waombolezaji.
 Nyumbani kwa marehemu George Tyson-Mbezi Makonde
 Natasha mama yake Monalisa ambaye alikuwa mke wa Tyson.
 Mwanamuziki Mad Ice akiwa msibani.
 Wanafamilia wakiwa katika kikao.
PICHA NA GPL

No comments

Powered by Blogger.